• Mwanzo
  • Kitaifa
  • Siasa
  • Katiba
  • Kimataifa
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo

Kijijini

Habari Magazetini - Swahili Newspapers | Tanzania

  • Magazetini
  • Nipashe
  • Mwananchi
  • Mtanzania
  • Tanzania Daima
  • Habari Leo
  • Forums
  • KLH News
  • Ajira
  • Kitaifa
  • Siasa
  • Kimataifa
  • Biashara
  • Burudani
  • Michezo

RC Adaiwa Kuomba ‘hongo’ ya 100m/-

October 14, 2014 Chanzo: Nipashe Leave a Comment

Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Sipora Liana, amesema mwaka jana alivyokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha aliingia katika mgogoro mkali na Mkuu wa Mkoa baada ya kugoma kutoa milioni 100.Mkurugenzi aliyasema hayo jana wakati akijitetea mbele ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, dhidi ya madai ya matumizi mabaya ya madaraka kwa kumsimamisha kazi aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Kilimo na Mifugo na Ushirika, Dk. Francis Mallya, ... Habari Kamili

Nyalandu: Nasubiri Kuombwa Kuwania Urais 2015

October 14, 2014 Chanzo: Nipashe Leave a Comment

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema hawezi kutangaza kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao bila kutumwa na watu.Nyalandu amesema kuwa wadhifa wa kuongoza nchi ni mkubwa mno, ambao mtu hawezi kujichukulia uamuzi wa kuiomba nafasi hiyo isipokuwa mpaka atumwe na watu, huku akisema kuwa ingawa hana mpango wa kugombea urais, lakini hata yeye akitumwa anaweza kugombea.Nyalandu aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wake na ... Habari Kamili

Dk. Mengi Awataka Viongozi Afrika Kuwakomboa Wananchi Wao Kiuchumi

October 12, 2014 Chanzo: Nipashe Leave a Comment

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi, amewataka viongozi wa kiafrika kufanya kazi ya kuwakomboa wananchi wao kiuchumi, kibiashara na kielimu.Akizungumza wakati wa utoaji tunzo ya Ukombozi wa Afrika, Dk. Mengi alisema jukumu la kupambana na upatikanaji wa uhuru umemalizika, kilichobakia ni kuhakikisha watu wanakombolewa katika hali ya umasikini wanayokabiliana nayo.Tunzo hiyo ambayo inatolewa na Kamati ya `African Liberation ... Habari Kamili

Dk. Mwakyembe: TBS Zuieni Bidhaa Hafifu Kuingia Nchini

October 13, 2014 Chanzo: Nipashe Leave a Comment

Waziri wa Usafirishaji, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Shirika la Viwango nchni (TBS) kuhakikisha kwamba linazuia bidhaa zisizostahili kuingia nchini.Waziri Mwakyembe alitoa agizo hilo alipokuwa akizundua matairi stahiki kwa mabasi ya abiria yanayotengenezwa na kampuni ya Michelin jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Alisema ingawa zipo sababu nyingi zinazochangia ajali za barabarani, lakini baadhi husababishwa na kupasuka kwa ... Habari Kamili

MAONI: Wasanii, Tumieni Fursa kwa Sauti Moja, Mueleweke…

May 10, 2014 Chanzo: Mwananchi Leave a Comment

Tofauti na zamani, katika zama hizi za sanaa ya kizazi kipya, kila ukikutana na msanii, ukasema mpoteze muda kuongea mambo mawili matatu, lazima katikati ya maongezi yenu atakuingizia suala la jinsi sanaa inavyochukuliwa rahisi rahisi nchini.Hiki ni kilio ambacho kimekuwa kwa muda sasa, tangu sanaa inaanza kuleta mwanga na kutambulika rasmi kama ajira, wasanii wamekuwa wakilalamika kila siku kwamba sanaa ingechukuliwa kama sekta makini, ... Habari Kamili

Nyota West Brom Atoa Somo Bongo

October 12, 2014 Chanzo: Mwananchi Leave a Comment

Nahodha wa Benin, Stephane Sessegnon ameitaka Tanzania kutafuta mechi nyingi za kirafiki za kimataifa Ulaya ili kutoa fursa kwa wachezaji wake kuonekana barani humo.Nyota huyo wa West Bromwich Albion inayoshiriki Ligi Kuu ya England, alisema ili Tanzania iwe na wachezaji wengi wanaocheza soka la kulipwa nje hasa Ulaya wanatakiwa kutafutiwa mechi nyingi za kirafiki za mataifa mbalimbali ili waweze kuonekana na kuuzika.Nahodha huyo ... Habari Kamili

Habari Mpya

RC Adaiwa Kuomba ‘hongo’ ya 100m/-

RC Adaiwa Kuomba ‘hongo’ ya 100m/-

October 14, 2014

Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Sipora Liana, amesema mwaka jana alivyokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha aliingia katika mgogoro mkali na Mkuu wa Mkoa baada ya kugoma kutoa milioni 100.Mkurugenzi aliyasema hayo jana wakati akijitetea mbele ya Baraza la Sekretarieti ya ... Habari Kamili

Bwana Harusi Asimulia Walivyonusa Kifo Ajali ya Mtumbwi

Bwana Harusi Asimulia Walivyonusa Kifo Ajali ya Mtumbwi

October 14, 2014

Bwana harusi, Ramadhani Hamisi (30), aliyenusurika kifo baada ya mtumbwi kuzama katika Ziwa Tanganyika na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine 11 kujeruhiwa, ameibuka na kusimulia jinsi alivyochungulia kaburi.Akizungumza na NIPASHE katika mahojiano maalum jana, Hamis ... Habari Kamili

Anglikana Yataka Kura ya Maoni Isiharakishwe

Anglikana Yataka Kura ya Maoni Isiharakishwe

October 14, 2014

Kanisa la Anglikana Tanzania limeitaka serikali kuacha haraka ya kuitisha kura ya maoni kuamua ama kuikubali katiba inayopendekezwa au la, badala yake itumie muda wa kutosha kutoa elimu ili wananchi wawe na uelewa kabla ya kufanya maamuzi wakati wa kupiga kura.Askofu Mkuu wa ... Habari Kamili

Dk.Bilal: Dk. Shija Alikuwa Muumini Mzuri wa Muungano

Dk.Bilal: Dk. Shija Alikuwa Muumini Mzuri wa Muungano

October 14, 2014

Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Bilal, amesema marehemu Dk. William Shija, alikuwa mpenzi na muumini mkubwa wa Muungano wa Tanzania tangu alipomfahamu mwaka 1990.Dk. Bilal alisema alimfahamu marehemu Shija akiwa waziri katika wizara ya Sayansi na Teknolojia na yeye akiwa katibu ... Habari Kamili

Kesi ya Lwakatare Yakwama

Kesi ya Lwakatare Yakwama

October 14, 2014

Marejeo kuhusu uhalali wa Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kuwafutia mashtaka ya ugaidi Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare (pichani) na Joseph Ludovick, jana yalishindwa kusikilizwa na Mahakama ya Rufani ... Habari Kamili

Polisi Watumia Mabomu Kutuliza Vurugu Himo

Polisi Watumia Mabomu Kutuliza Vurugu Himo

October 14, 2014

Polisi mkoani Kilimanjaro wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Njiapanda waliokuwa wameifunga barabara kuu ya Moshi-Dar es Salaam na kusababisha magari zaidi ya 300 yakiwamo mabasi yaendayo mikoani kukwama kwa saa nne katika mji mdogo wa ... Habari Kamili

Chadema Walalamika Kuzuiwa Mikutano Wakati wa Bunge

Chadema Walalamika Kuzuiwa Mikutano Wakati wa Bunge

October 14, 2014

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani hapa, kimemlalamikia Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi kwa kukipiga marufuku kufanya mikutano ya hadhara wakati wa vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano vikiendelea.Akizungumza na NIPASHE mjini hapa jana, Mwenyekiti ... Habari Kamili

Jiunge Nasi Mitandaoni

  • Facebook
  • Google+
  • RSS
  • Twitter
  • YouTube

MATANGAZO

English News

13 Officials Ordered Out of JNIA
3 July 2014 - The Daily News

TRANSPORT Minister Harrison Mwakyembe ordered immediate removal of 13 ...

CCM ‘Foul Play’ in Katiba Process
25 June 2014 - The Citizen

In part one of this article last week, I explicitly put it clear that ...

Explosions Rock Kenya’s Capital Nairobi, Casualties Reported
16 May 2014 - Associated Press

NAIROBI, Kenya (AP) — Two blasts hit Kenya’s capital on Friday, killin ...

UKAWA Denounces UNDP Boss
14 May 2014 - The Citizen

The Coalition of the Defenders of the People’s Constitution (Ukawa) ha ...

Half of Kenyans Fear Torture In Custody
13 May 2014 - Daily Nation

More than half of Kenyans are afraid of being tortured by the governme ...

Road Use Changes for Dummies?
3 May 2014 - Amby Lusekelo

I WAS caught up in traffic the other day and I was by good chance list ...

Kikwete Pledges Salary Increase
2 May 2014 - The Daily News

PRESIDENT Jakaya Kikwete on Thursday led Tanzanians in celebrating the ...

The Continuous Yearning for Peace in Africa
1 May 2014 - Freddy Macha

Around thirty-plus Tanzanians joined a flood of other Commonwealth cit ...

Antibiotic Resistance Now ‘Global Threat’, WHO Warns
1 May 2014 - BBC

Resistance to antibiotics poses a “major global threat” to public heal ...

TRA Wants Tax Education Taught in Primary Schools
1 May 2014 - The Guardian

To make good taxpaying adults, children should be taught tax issues at ...

Tunapatikana Facebook

MATANGAZO

Copyright © 2018 · Kijijini Inc. · All Rights Reserved.
Designed by Donmai Inc.